@thecuter | ||
Two guys wanaishi kwny ghetto moja, ally na omary, ally ndo mwenye chumba alimkaribisha rafiki yake omary, waliishi pamoja ila omary alikuwa na glfrnd wake,huyo msichana huwa anakuja ghetto na sumtym anawapikia chakula,kuosha vyombo na kurudi kwao, cku yacku akaja kumtafta omary, kwabahat mbaya omary alikuwa hayupo kaenda sokot kununua vi2 vyakupika, alivyokuja akamkuta ally naye anaandaa jiko huku akimsubiri mwenzake..! Dada kafika thn akajibwaga kitandan huku ally akiwa kwny kochi, ghafla wazazi wabinti wakatokea nakundi lawa2,wakisema 2mechoka mwanao kila cku a2lii nyumbani, wakagonga nakumkuta mwanaye yupo juu yakitanda naally kwny kochi, likawa fumanizi nandoa yamkeka ikafuata, wazaz wabinti walikuwa hawamjui bf wa mtoto wao kwahy wakadhan ndo ally, ndoa yamkeka ikafungishwa baina ya ally namtoto wakike..! Omary karud wa2 washamaliza...! Je ungekuwa ndoww kuozeshwa mpenzi warafiki yako au rafiki wampenzi wako ikiwa wazaz hawakutaka kuelewa hl? Wazaz wanachokitambua ni ALLY na binti yao tu? |
||
8
Replies
1118
Views
0 Bookmarks
|
@thecuter | 7 March 12 | |
Hahahahaha kama nimzuri oa bt kama c' mzuri muolee 2 rafiki yako..then ahame naye mbali nahuo mtaa
|
||
@ladykeys | 13 June 12 | |
hapo hakuna kuoleana awe mzuri ama mbaya ishakula kwako labda umpe talaka then mshkaji wako aoe |
||
@thecuter | 16 June 12 | |
Asa Kwan Utampa Talaka C'ku Hiyo Hiyo? C'lazima Ukae naye kwanza ili uwe na sababu nahy talaka!?
|
||
@ladykeys | 17 June 12 | |
kwani talaka lazima ukae nae mwaka hujawahi ona mtu aoa mchana usiku atoa talaka, sasa ukisema ukae nae si utajikuta bahati mbaya mnashiriki tendo la ndoa then hata kufall in love unaweza ukafall then ikaleta tabu kwa rafiki yako |
||
@thecuter | 17 June 12 | |
Hahahaha we unadhani wazazi watakubalije wakuozeshe leo hii thn umpe talaka na wao walikuwa wanajua kila c'ku we ndo unatoka na binti yao?
|
||
@ladykeys | 20 June 12 | |
hamna bana watakuelewa
|
||
@ladykeys | 20 June 12 | |
sasa unadhani utaishije na mke usiempenda |
||
@thecuter | 20 June 12 | |
Okay kimfano ndo ingekuwa we ndo unaozeshwa kwa rafiki wa mchumba wako, Ungefanyaje ili kuweka mambo sawa?
|
||
FRIENDLYCLUB Forum
Bookmarks
FRIENDLYCLUB