

huu ni muunganisho wa watu kuwa karibu kupitia lugha ya kiswahili
Ni chombo cha mawasiliano kitumikacho kubadilishana uelewa ni maarufu zaidi nchi za afrika mashariki kwa mfano Tanzania,Kenya,Uganda,Burundi na Rwanda. lugha hii inatumika zaidi nchini Tanzania kwa kuwa ndio lugha ya taifa la nchi hiyo. jisiki furaha kuwa pamoja na marafiki mnaozungumza lugha ya kiswahili karibu sana Afrika mashariku nchi zenye amani na upendo...
Group Founder: kruby
Group Type: Private

Members: 3
Category: > Music
Photos (7)
Files (1)