
![]() |
@nissiebo | |
Cmone pple changamkeni.mbona tuko cold hivyo.be active.. |
||
7
Replies
1399
Views
0 Bookmarks
|
![]() |
@lisah6 | 28 August 09 |
Tupo bibie.unajua ukitaka watu wachangamke,watie ndimu kiasi!.
|
||
![]() |
@nissiebo | 29 August 09 |
Hee.kwani mpaka mpakwe ndimu.c mon lisah u knw beta thn tht...
|
||
![]() |
@lisah6 | 29 August 09 |
I know nothing ma dear,mimi mwenyewe ni mtoto mchanga,ndio naanza kuita maji 'Mmah'.
|
||
![]() |
@nissiebo | 30 August 09 |
Anyone else anayetaka kupakwa ndimu kama lisah ndio wachangamke?
|
||
![]() |
@lennita | 16 April 10 |
Hiyo ndimu ya kuchangamka inapakwa aje?
|
||
![]() |
@candy400 | 17 July 10 |
Nami nipate ndimu kidogo
|
||
![]() |
@pommes | 18 September 10 |
Hao wote wanaotaka kupakwa basi b ready me nipo tayari kuwapakapaka ndio tuchangamke sote.
|
||


