
![]() |
@jcrazy1 | |
...lets get thos ribs crackn!x..u chongoa mi i chongoa u! |
||
17
Replies
3915
Views
0 Bookmarks
|
![]() |
@jcrazy1 | 28 July 09 |
...@members,nyinyi ni dunder,mlibeba mwakenya blood test! ![]() |
||
![]() |
@hunkcake | 19 August 09 |
we ni mnono hadi ukiingia room unaka next to evribody
|
||
![]() |
@jcrazy1 | 21 August 09 |
...@hun we ni fala tu sana, ukidunga xams solo unakuwa namba 2 outof 1.
|
||
![]() |
@natale | 27 September 09 |
J we ni mnoma hadi ukila mahindi unashuta unga
|
||
![]() |
@jcrazy1 | 9 October 09 |
...@nat, we ni fala mpaka unashindwa kuthink twice!
|
||
![]() |
@ruzzoh | 24 December 09 |
Jcrazy wewe ni mnono ukivaa nguo ya red unakaa coca cola shop,ukivaa green unakaa safaricom outlet/M-pesa,na ukivaa yellow unakaa kama lori ya tusker.
|
||
![]() |
@jcrazy1 | 3 January 10 |
...aki ruzzoh!! Hiyo ni seriaz... ![]() |
||
![]() |
@ruzzoh | 8 January 10 |
Jcrazy manzi yako amenona hata badala ya kuvaa g-string yeye huvaa G-WIRE.
|
||
![]() |
@jcrazy1 | 9 January 10 |
...unaona wewe ruz, uko mdogo ukimeza njugu unapata ball.
|
||
![]() |
@keyree | 9 March 10 |
J wewe umeunga unapeel sugarcane kama njugu!
|
||
![]() |
@kantonna | 12 March 10 |
Jay,ati manzi yako ni mkonda mpaka akidunga tisho ya safcom yufanana na simcard.
|
||
![]() |
@jcrazy1 | 14 March 10 |
...oky mmeamulia... unacheki wewe keyree kwenyu nyinyi mko juu mpaka mnabeba nguo na flashdisk...kantona sijakusahau, unaona kwenyu kuna insecurity mpaka kila doggy iko na doggy yake....
|
||
![]() |
@kantonna | 16 March 10 |
nyc one...we ni mnoma mpaka ukishuta wasee huulizana,ni ganya gani hiyo!
|
||
![]() |
@jcrazy1 | 17 March 10 |
...hahaha, unacheki kwenyu kantona, kuna insecurity such that doggy za huko zi hutembea mbili mbili zisichapwe ngeta.
|
||
![]() |
@kantonna | 18 March 10 |
Safi...manze manzi yako nimnono hadi akikalia novel inakuwa short stories.
|
||
![]() |
@jcrazy1 | 21 March 10 |
...manzi yako ni mrough, ukimdara unatumia sandpaper.
|
||
![]() |
@goodkaat | 31 May 10 |
J doggy yenyu ni lazy hadi mwizi akikam za neiba zikibweka ina sema SAME!
|
||


