
![]() |
@lslg | |
Je mjadala wa richmond unaoendelea bu*ngeni unaweza ukapunguza makali ya maisha kwa mtanzania wa hali ya chini? |
||
1
Replies
1247
Views
0 Bookmarks
|
![]() |
@1rama | 1 July 08 |
Upunguze wapi wewe! Wale wamechanganyana wenyewe ktk mgao wa mali wanazowadhulumu watz, dat iz y wanaamua kutajana. Kama mbwai, nmbwai 2. Umaskini palepale
|
||


